AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Ukiniuliza nitakwambia natamani Lulu Diva aache muziki, akiwekeza nguvu kwenye filamu atafika mbali maana alijaribu tu kwenye Rebeca na alifanya vizuri ,waigizaji wengi wa kike huwa wanakuja alafu baadae wanaacha. Naamini angeendelea kuigiza angekuwa anga za kimataifa, ana kipaji lakini amekificha kwenye muziki,” alisema Mtitu
Hata hivyo, kumbukumbu zinaonesha baada ya kushiriki Miss Tanzania, Lulu Diva alijitosa Kwenye uigizaji kwa kuigiza filamu kama mbili hivi kisha kuupa kisogo uigizaji na kuamua kujidumbukiza kwenye muziki ingawa hivi karibuni alirudi kuigiza kwenye tamthilia ya Rebecca.
Hisani:swahili world
Toa maoni yako
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK