RC Kilimanjaro Azuia Mshahara wa Mkurugenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira ameagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mwanga, Zefrin Lubuva asilipwe mshahara wa Februari hadi atakapojirekebisha.

Agizo hilo limetolewa baada ya mkurugenzi kushindwa kujibu kwanini Halmashauri hiyo imeshindwa kutenga asilimia 10 ya mapato yake kwa ajili ya Wanawake, Vijana na Walemavu.

“Mkurugenzi wa Mwanga kila wakati umekuwa ukishindwa kujibu maswali vile inavyopaswa, sijajua ni nani anakulipa mshahara, ila mamlaka inayohusika kukulipa isikulipe mshahara wa mwezi huu”.

Chama cha Madaktari kuteta na Magufuli ukosefu wa ajira
Ikumbukwe kuwa kila Halmashauri nchini Tanzania hutenga asilimia 10 ya mapato yake kwa ajili ya kuwapa mikopo isiyo na riba Vijana, Walemavu na Wanawake.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad