Taarifa za Nabii Daniel Shillah Kupata Ajali na Kukatwa Mguu..JE Kuna Ukweli Au Naye Anatafuta Kiki?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Taarifa za Nabii Shillah Kupata ajali na kukatwa mguu zimeanza kuzagaa toka jana kupitia mtandao wa instagram ,

Mwenyewe kwenye ukurasa wake wa instagram amepost picha hii na kuandika haya:


Page nyingine ya udaku iliandika haya hapa chini:
"Mmmh Hujafa hujaumbika Nabii @prophet_daniel_daniel_shillah amefanikiwa kukatwa Mguu baada ya Kupata Ajali akitokea Dodoma😭....Katika Ukurasa wake Amepost Picha Hiyo akiwa anauguza Mguu.. INASIKITISHA SANA!! " Udakutz
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad