AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi kumuadhibu muamuzi wa mchezo wa Yanga na Lipuli uliyochezwa February 5 2020, uamuzi huo unakuja baada ya kupitia kwa kina kanda za marejeo ya picha za video zikimuonesha muamuzi Abubakar Mturo kushindwa kumudu mchezo.
TFF imetangaza kumfungia Abubakar Mturo amefungiwa miezi mitatu kuchezesha soka kwa kosa la kushindwa kumudu game ya Yanga Vs Lipuli February 5 2020 uwanja wa Taifa Dar es Salaam, Mturo alikuwa gumzo kwa kuamua ipigwe kocha katika mpira uliyokuwa na utata kama goli au sio goli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK