AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bondia muingereza Tyson Fury baada ya kushinda Ubingwa wa Dunia uzito wa juu kwa TKO kwa kumpiga Deontay Wilder round ya 7 na kubeba mkanda wa WBC, awali ilikuwa inafahamika kuwa Bingwa wa pambano hilo la marudiano baada ya awali kutoka sare ataenda kupambana na bondia Anthony Joshua.
Kutokana na sheria ya mkataba waliosainishana Tyson Fury na Deontay Wilder unawataka kurudiana kwa mara ya tatu kama Wilder atapenda kitu ambacho inaaminika kuwa hawezi kukataa kurudiana nae, sasa inadaiwa kuwa upande wa Tyson Fury promota wa pambano hilo Frank Warren amepanga kumshawishi Wilder kwa pesa ili aachane na ishu za kurudiana na Fury na badala yake lipigwe vs Anthony Joshua.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK