VIDEO: Mmiliki wa Hoteli Aeleza Kilichotokea kwa Mfanyabiashara wa Mwanza Anayedaiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Geita. Mkurugenzi wa Hoteli ya Kilimanjaro mkoani Geita ameeleza jinsi walivyosikia risasi ilikia katika chumba alichokuwa mfanyabiashara wa jijini Mwanza Salum Othuman (44) ambaye anadaiwa kumpiga risasi mpenzi wake kwa kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.

Mkurugenzi huyo Paul Lyimo akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi Februari 27, 2020 amesema mtuhumiwa ni mteja wao wa mara kwa mara na kwamba asubuhi akiwa chumbani wahudumu walisikia mlio wa risasi na ghafla alitoka chumbani akiwa amembeba Happynes Israel huku damu ikiwa inachuruzika.

“Alipotoka meneja alikuwa akimzuia asiondoke akamtolea bastola kumtisha meneja akarudi nyuma ndipo aliporudi nyuma akagonga geti na kumgonga meneja kisha kumburuza ndio vijana wa bodaboda hapo nje wakaanza kumkimbiza akawa anakimbia na gari barabara kuu kuelekea Mwanza na alipofika mbele ya soko la dhahabu alizunguka na kushuka eneo la hospitali na kufanikiwa kukamatwa na polisi,” amesema Lyimo.

Kaimu mganga mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Geita, Shaban Masawe alikiri kupokea majeruhi wawili wa tukio hilo ambapo amesema Happines alipigwa risasi eneo la paja na uchunguzi umeonyesha amevunjika mfupa na amepewa rufaa ya kwenda hospitali ya Bugando huku mwingine akiwa na michubuko maeneo mbalimbali ya mwili wake.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad