AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo, amethibitisha kuwashikilia watu watatu kwa kosa la mauaji ya mwanamke mmoja kutokana na imani za kishirikina. Lakini amesema mtuhumiwa mmoja amefariki.
Akiongea na waandishi wa habari leo Machi 14, 2020, amethibitisha kutokea kwa mauaji ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 56 na wanawashikilia watu watatu ambapo mmoja alipoteza maisha.
Kamanda Mponjoli ameelezea kwa kina sababu za mwanzoni za mauaji hayo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK