AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha mkuu wa Yanga SC raia wa Ubelgiji Luc Eymael ameoa kimya kimya na baada ya hapo akaamua kutangaza kupitia ukurasa wake wa instagram.
Eymael kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika ujumbe unaoashiria kuwa amefunga ndoa kimya kimya ila hajafanya sherehe kwa sababu ya ulinzi wa kiafya kwa hofu ya virusi vya corona.
“Mambo ya kidunia yameingilia harusi kwa sababu za kiafya (corona), waliobaki watakuwepo kwa ajili ya wakati mwingine na watakaoalikwa watajulishwa”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK