Kocha wa Yanga Mbelgiji LUC Eymael Afunga Ndoa Kimya Kimya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha mkuu wa Yanga SC raia wa Ubelgiji Luc Eymael ameoa kimya kimya na baada ya hapo akaamua kutangaza kupitia ukurasa wake wa instagram.

Eymael kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika ujumbe unaoashiria kuwa amefunga ndoa kimya kimya ila hajafanya sherehe kwa sababu ya ulinzi wa kiafya kwa hofu ya virusi vya corona.

“Mambo ya kidunia yameingilia harusi kwa sababu za kiafya (corona), waliobaki watakuwepo kwa ajili ya wakati mwingine na watakaoalikwa watajulishwa”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad