Rose Ndauka avishwa pete ya uchumba na kutolewa mahari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa filamu za kibongo Rose ndauka amevishwa pete ya uchumba na kutlewa mahali na mpenzi wake wa muda mrefu.

Rose Ndauka amekuwa msiri kwa muda mrefu kwa kutotaja yupo na mahusiano na nani lakini kwa sasa imejulikana ni yule mwanaume ambaye ni mfanya biashara na kwa mara nyingi walikuwa wanaonekana pamoja hata sehemu zao za biashara.


Kwenye akaunti yake ya instagram amepost picha akionyesha pete yake na kuandika ❤️❤️❤️Wakati wa Mungu ni kama upepo mkali...... She said what???? 😍😍Mrs to be Naureen{Mama Naveen} ❤️

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad