Uganda: Waziri wa Zamani Mbaroni Kwa Kutangaza nia ya Kugombea Urais

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Maafisa wa Usalama Kitengo Maalum cha Ujasusi (SFC) wamemkamata aliyekuwa Waziri wa Usalama Nchini humo, Jenerali Henry Tumukunde, wiki moja baada ya kuwasilisha ombi la kuwania Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwakani

Tumukunde aliyewahi kuhudumu kama Mkuu wa Idara ya Ujasusi Nchini humo, amekamatwa akiwa katika Ofisi zake eneo la Kololo Jijini Kampala na anatuhumiwa kujihusisha na uhaini
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad