TMA Yatahadharisha Mvua Kupiga Mikoa 7 Kwa Siku 5

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka ya hali ya hwa nchini (TMA) imetoa tahadhari kwa wakazi wa mikoa 7 ya pwani na kanda ya kati ya Tanzania kutokana na uwezekano wa kunyesha mvua za wastani na kubwa kwa baadhi ya maeneo

Mikoa hiyo ni Dar es salaam, Tanga, Lindi, Morogoro, Pwani visiwa vya Mafia,Unguja na Pemba



Taarifa ya TMA inasema kuwa mikoa hiyo itarajie mvua kubwa na wastani kwa takribani siku tano kwanzia tarehe 12 mwezi April mpaka tarehe 17 April, wakazi wa mikoa hii wanatakiwa kuchukua tahadhari kutokana na hali hii ya mvua

Tangu siku ya jana mkoani Dar es salaam mvua imekuwa ikinyesha kwa takribani masaa kadhaa hali iliyosababisha baadhi ya barabara kufungwa na usafiri kuchelewa
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad