Abiria 200 Wasafiri Kutoka Tanzania Kwenda India Kwa Air Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Hatimaye abiria 200 wakiwemo raia wa India jana usiku wamefanikiwa kusafiri kwa ndege ya Shirika la ndege la Tanzania ATCL kutoka hapa nchini kuelekea India kutokana na juhudi za ushirikiano baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya India kupitia Balozi zote mbili ili raia hao waweze kuungana tena na familia zao.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa ATCL Lebris Laanyuni amesema kuwa huu ni muendelezo wa jitihada za Serikali kuamua kuwarejesha nyumbani abiria walioshindwa kusafiri kutokana na zuio lililosababishwa na janga la Covid-19 na kwamba hapo awali walifanikiwa kuwarudisha nchini Tanzania abiria 246 waliokwama nchini India.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad