Fatma Karume Amehoji Anayehusika Kubambika KESI ni mtu wa Aina Gani na Je Usiku Analala Kweli?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wakili wa kujitegemea, Fatma Karume, amehoji ni kwa nini mtu anamsingizi mwenzake kosa la jinai lisilokuwa na dhamana.

“Mtu anayeandika hiyo charge sheet ni mtu wa aina gani? Na anadhani analinda nini?  Ili iweje?,” alihoji Fatma katika ukurasa wake wa twitter.

“Usiku unalala kweli? Anaelewa athari ya kitendo hicho kwa mfumo wa haki?,”

Fatma aliandika ujumbe huu “Nina swali moja ya kuuliza: ni nini kinachofanya mtu amsingizie mwenzake kosa la jinai lisilokuwa na dhamana? Mtu anayeandika hiyo charge sheet ni mtu wa aina gani? Na anadhani analinda nini? Ili iweje? Usiku unalala kweli? Anaelewa athari ya kitendo hicho kwa mfumo wa haki?,”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad