AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, amesema watampigania mwanachama wao Nyagali Mdude hata kama haki yake itachelewa.
“Kamanda @chadema Mdude tutakupigania hata kama haki yako itachelewa … Hatutachoka walijaribu kukuua mara tatu, Mungu akakataa,” aliandika Mdee katika ukurasa wake wa twitter
“Eti leo umekuwa mhujumu uchumi eti nawe unashughulika na dawa za kulevya? Giza haiwezi shida nuru. Pambazuko linakaribia,” aliandika Mdee
Kamanda @ChademaMdude!!Tutakupigania, hata kama HAKI yako ITACHELEWA...HATUTACHOKA. Walijaribu kukuua MARA TATU, Mungu akakataa!! Eti leo umekuwa MHUJUMU UCHUMI??eti NAWE unashughulika na DAWA za KULEVYA??GIZA haiwezi shinda NURU.Pambazuko LINAKARIBIA.— Halima James Mdee (@halimamdee) May 13, 2020
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ahaa, sasa hili Genge na wewe kigori upo.?
ReplyDelete