Hizi Hapa Nchi 137 zenye Majeshi ya Polisi Bora Duniania...Rwanda Kinara Afrika...Tanzania Je?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shirika la World Economic Forum limetoa orodha ya nchi 137 katika viwango vya ubora wa huduma za Vikosi vya Majeshi ya Polisi duniani

Orodha hii imezingatia kiwango cha kuaminika na kutegemewa -
Nchi ya Finland imeshika nafasi ya kwanza ulimwenguni huku Rwanda ikishika nafasi ya 13 na ya namba 1 kwa Afrika

Nchi nyingine za Afrika zilizofanya vyema ni Misri, Ethiopia pamoja na Afrika Kusini

Ni nchi 4 tu za Afrika ndio zimeweza kuingia katika orodha hiyo
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad