AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtoto mzuri huko Bongo Flevani, Lulu Diva amesema kuwa hatoki kimapenzi na msanii mwenzake Juma Mussa maarufu kama "Jux" kama ambavyo watu wengi wanavyozungumza.
Akipiga stori na gazeti pendwa la Risasi, Lulu amesema anashangaa watu kusema kuwa anatoka na Jux kitu ambacho hakina ukweli wowote kwa sababu wao ni washkaji tu na zaidi wanaheshimiana kama kaka na dada.
"Jux ni mshkaji wangu tu tena namheshimu kama kaka yangu, hakuna kitu kingine kinachoendelea kati yetu zaidi ya hicho," alisema Lulu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK