Nyalandu asilimulia mazito baada ya watu kutelekeza gari kwenye geti lake, asema anaelewa kinachoendelea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu, asimulia jinsi gari lenye alama ya kampuni ya simu ya mkononi tigo lilivyotekelezwa kwenye geti la nyumba yake.

Nyalandu amesema baada ya gari hilo kutekekezwa majira ya asubuhi wahusika waliondoka.

“Gari yenye usajili wa @tigo-GT#T562 DRS lilipakiwa ndani ya Entrance gate ya nyumbani kwangu na wahusika wakaliacha na kuondoka mapema asubuhi ya leo,” aliandika Nyalandu katika ukurasa wake wa Twitter.

“@tanpol kupitia OCD wa Arusha wanakuja kuchunguza mkasa huu na majirani wamejitolea kutoa ulinzi wakati tunajua kilichojiri,”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad