AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa filamu Steve Nyerere amesema yeye pamoja na Haji Manara walizungumza na Idris Sultan kuhusu namna anavyoiendesha sanaa yake. “Hakuna mtu ambaye hajaona alichokifanya Idris Sultan, yaani kile cha kuonyesha kama amemdhihaki Mhe Rais, sanaa ina mipaka yake” alisema Steve Nyerere.
Aliongeza “Mimi na Haji Manara nilishazungumza naye baada ya matatizo yaliopita, lakini na kwa hili pia tumuombea radhi, alichokifanya hata sisi hatujakipenda “
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mh mtarajiwa S.Nyerere, Wana Iringa tuna kungoja kukukabidhi jimbo letu.
ReplyDeleteMsigwa akisikia jina lako plesha juu.
Steve Oyeeee...!!!
Iringa Safiii..!!!