Tuzo za 20 za BET kufanyika june 28

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Licha ya uwepo wa janga la Corona, tuzo za BET 2020 ambazo ni tuzo za 20 tangu kuanzishwa kwake, sasa rasmi zatangazwa kuwa zitafanyika ila kwa namna ya pekee.

Kupitia taarifa iliyotolewa na waandaaji wa tuzo hizo wametoa tamko la kuendelea na programu hiyo ambayo itafanyika Juni 28 mwaka huu.

Kwenye usiku wa tuzo hizo pia kutakuwa na hafla ya kusherehekea miaka 40 ya kuanzishwa kwa kituo cha BET (Black Entertainment Television), kulingana na kanuni za kuepusha mikusanyiko, BET wametangaza kuifanya hafla hiyo katika namna ya "Virtually" kama kitaalamu inavyoitwa.

Hii ni namna ambayo itatumia njia za kibunifu za Kiteknolojia pamoja na maudhui ambayo yatatengenezwa na wasanii wenyewe ili kumfanya mtazamaji na hata msanii na wadau wengine wajihisi kama wapo pamoja ukumbini.

Aidha, #BET hadi sasa bado hawajaweka wazi majna ya wasanii washiriki kwenye tuzo hizo za mwaka huu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad