Wadada Hivi Mnaenjoy Kubambiwa Kwenye Mabasi ya Mwendokasi au?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Leo nimeshuhudia kitendo ambacho hadi sasa nahisi kuchanganyikiwa. Nimepanda mwendokasi natoka Kariakoo kwenda Ubungo kiti chanyuma. Magomeni kaingia mtoto mzuri hatari alafu ana shepu balaa tako, hips hatari kavaa suruali na kitop nyuma mgongo uko wazi mabegani. Mlangoni kuna jamaa kasimama kaegemea chuma. Msichana kaingia kasimama kampa jamaa mgongo walah! Vituo viwili mbele naona jamaa Kahama kabisa hata haegemei chuma kamuegemea msichana mgongoni.

Nimekaa nacheki tu mchezo. Kituo kinachofuata kuna abiria wakashuka, msichana ikabidi atoke nje kupisha abiria wapite mlangoni kisha kaingia ndani akapitiliza ndani mbali na aliposimama jamaa mlangoni. Jamaa kuona msichana anapitiliza ndani naye kafuata nyuma. Msichana kaegemea kwenye viti jamaa kawahi nyuma yake kaegemea mgongo zero distance. Gari inavyozidi kwenda jamaa naona anazidi kuegemea nikiangalia mikono jamaa kashika chuma inatetemeka jicho jekundu.

Msichana anageuka nyuma kumcheki jamaa na kujaribu kugeuka kidogo jamaa nae anageuka nae mgongoni. Nikimcheki jamaa kawa kama hajitambui kabisa na kibaya zaidi msichana yuko kimya anageuka shingo kidogo alafu anakaa kimya. Kufika Ubungo msichana akashuka na mimi ndo nikawa nashuka ghafla yule jamaa kama kazinduka naye akashuka. Sasa mimi niko nyuma ya yule msichana naona anapitisha mikono nyuma kama kujikagua kama kachafuka au la. Nikamcheki karudia mara kadhaa kiaina anapitisha mikono nyuma anafutafuta hivi huku anaondoka.

Kumcheki yule jamaa namuona kaenda upande wa pili anasubiri gari la kurudi town. Nikashangaa huyu jamaa kapanda gari toka Kariakoo kafika Ubungo anasubiri gari tena la kurudi town? Mhh. Kitu kinachonishangaza ni yule msichana, bonge la msichana ana ngozi ya shombeshombe hivi na bonge la shepu nilivyomfatilia niligundua ni mwanafunzi wa Dar nimeshangaa imekuwaje anabakwa hivi hivi na anakaa kimya mwishowe anaishia kujikagua kama kachafuka au vipi. Alafu jamaa mwenyewe aliyekuwa anambaka ni jamaa moja wa hovyo hovyo kama mlevi wa mataputapu.

Au wakina dada huwa mnapendaga kubambiwa hivi kwenye mabasi? Na unahisi kabisa kuna mtu nyuma yako na kitu kasimamisha kwenye bonde lako la ufa.

Source:JF
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad