Wanajeshi wa KENYA Wamuua Gaidi wa al-Shabab na Watoto Wake Wawili....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika Hali isiyokuwa ya kawaida wanajeshi wa Kenya KDF wamewaua watoto wawili wanaokuwa wanaishi na baba yao ambaye anashukiwa kuwa Ni gaidi wa ALSHABAB.

Hali hiyo ilitokea wakati polisi walipofika katika makazi ya gaidi Huyo ambaye aliwatumia watoto hao kuwaokoa watoto hao Kama ngao ya kuzuia KDF wasimkamate.

'Gaidi Huyo alikataa kukamatwa Kisha kurusha grunate la mkono, ambapo wanajeshi walijibu kwa kuvurumisha risasi zilizomuua gaidi Huyo na watoto haowawili.

Mke na watoto wengine watatu wa mshukiwa Huyo ambao nao walijeruhiwa wamelazwa hospitali.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad