Aliemchumbia Wolper kafunguka kuvunjika kwa penzi lao ‘Hakuna Ndoa’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mnamo Mei 30, 2020 Mwigizaji Wolper aliingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuvishwa Pete na Mpenzi wake Chid Designer, sasa leo June 4, 2020 yameibuka mapya ambapo mbunifu huyo aliemchumbia Wolper amefunguka mbele ya waandishi wa habari kuhusu kuvunjika kwa Penzi lao. 

Kwanza Wolper alikuwa ananijua, ni rafiki yangu kwahiyo naweza nikamvalisha Pete hata kama sio mpenzi wangu lakini pia naweza nikamzawadi Pete kama zawadi zingine, Wolper ni mwanamke ambae analitafuta Pesa kwa jacho lake mwenyewe, na taarifa za kuachana mimi na yeye ni kweli sio wapenzi na wala Ndoa hakuna- Chid Designer

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad