Haji Manara Kuacha Kazi Simba SC "Nataka Changamoto Mp ya"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Haji Manara ni miongoni mwa maafisa habari wa vilabu vya soka vya Tanzania ambao wamedumu katika timu moja kwa muda mrefu, Manara hadi sasa amekaa Simba SC kama afisa habari kwa miaka mitano na miezi mitatu toka pale alipojiunga nayo 2015 mwezi March.

Manara akiongea katika insta Live na Sabrina Golden Hour ameeleza kuwa baada ya kudumu na club hiyo kwa miaka mitano anawaza kutafuta kazi mpya ya kufanya ili apate changamoto mpya.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad