AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii Amber Rutty ame-update ndoa yake na mumewe Davil baada ya kuachana kwa muda mrefu kisha kutalakiana kwa talaka iliyodumu kwa muda wa miezi miwili na nusu.
Akizungumza na EATV & EA Radio Digital Amber Rutty amesema wameamua ku-update ndoa na mahusiano yao kwa sababu kulitokea malumbano na walishindwa kuelewana na sasa hivi wamerudiana tena.
"Siku ya jana tulikuwa tuna update mahusiano yetu tangu tulivyofunga ndoa hapo katikati kulitokea malumbano, kushindwana kuelewana na tukafarakana ila sasa tumerudiana, kwa hiyo mume wangu ameamua kua-update kwa kusheherekea ili mahusiano yetu yawe mapya kabisa na alinifanyia suprise ya kunivalisha pete" amesema Amber Rutty
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK