Nay Wa Mitego ataja sababu za Roma kukimbia Tanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kupitia mtandao wa Instagram Nay Wa Mitego amemchana Roma Mkatoliki baada ku-comment kwenye wimbo wake wa Mungu Yuko Wapi, kwenye post hiyo Nay amesema Roma anajitoa ufahamu, ametaja sababu za Roma kukumbia Tanzania, pia amemshauri arejee kwani kuwa watu wanaweza kutembea na mke wake.

"Mpendwa Roma Mkatoliki wewe ni mshkaji wangu ila kuna wakati nadhani unajitoa ufahamu sijui, kwamba wewe unaimba nyimbo ambazo Bi mkubwa akisikia wala hawezi kupanic wala kupanikishwa na watu baada ya wimbo kuzua mijadala, kwanza umekimbia nchini kwa sababu ya wimbo wa "Naitwa Roma".

"Kipindi ulivyotekwa mimi binafsi sikulala siku mbili tulikua tunashinda polisi Osterbay, Mama Roma alisema hataki tena uimbe muziki, ukiwa unanishauri muda mwingine usijifanye wewe ni mlokole kama unaimba Gospel, kuhusu huu wimbo wa Mungu yuko wapi wala hukutakiwa kutia neno coz wewe ni mwana sana"

"Nikushauri tu mwanangu fanya urudi watu watapita na mkeo, hakuna mwanamke anayeweza kuvumilia kukaa mwaka mzima bila ya kujamiiana, hao wanawake walishakufaga enzi za mababu zetu, kama una mpenda mkeo na watoto fanya urudi hakuna mtu wakukukamata mambo ya wimbo yalishapita" ameandika Nay Wa Mitego

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad