AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa za awali Ambazo tumepokea kutoka mkoani Iringa zinaeleza kuwa kuna basi ambalo limetumbukia kwenye korongo Mlima Kitonga,
Mpaka sasa watu wanne wamethibitishwa kupoteza maisha na kumi kujeruhiwa baada ya basi hilo la kampuni ya Prezdar (Iringa-Dar) kuacha njia na kutumbukia katika korongo la Mlima Kitonga mkoani Iringa.
Kamanda wa polisi Juma Bwire Amethibitisha kutokea kwa ajali.
Taarifa kamili zitakujia
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK