AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwili wa Aliyekuwa Rais wa Burundi Hayati Pierre Nkurunziza unazikwa leo kwenye makaburi ya mji wa Gitega mji mkuu wa kisiasa ulioko katikati mwa Burundi
Hafla ya mazishi zinatarajiwa kuongozwa na rais mpya jenerali Evariste Ndayishimiye na wakuu wengine wa serikali.
Kwa mjibu wa tangazo lililotolewa na serikali ya Burundi, hafla itaanzia kwenye 'hospital du Cenquantenaire Twese Turashoboye' iliyoko kwenye mkoa wa Karusi ambako mwili wake umehifadhiwa.
Wananchi wametakiwa kusimama kwenye barabara kumuaga marehemu.
OPEN IN BROWSER
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK