AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANANCHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayee pia ni mwandishi wa habari wa Global TV Online, Victor Moshi, maarufu kama Korumba Lebabazi, jana, Juni 18, 2020, alitangaza nia ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Arusha Mjini katika hoteli ya Golden Rose.
Amekuwa mgombea wa kwanza kutangaza nia ya kuchukua fomu ya chama hicho ili kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kupitishwa na chama ili apate ridhaa ya kugombea ubunge katika jimbo hilo ambalo kwa sasa linashikiliwa na Mbunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK