MREMBO "Nimelala na Wanaume 100 na zaidi Siwezi Kulala Njaa..Nimegundua Mwili Wangu Una Thamani"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Pichani Queen Facard ambaye ni socialite maarufu nchini Ghana katika interview mpya amejitosa kueleza kuwa amelala kimapenzi na wanaume zaidi ya 100 hadi sasa na bado Idadi inaongezeka. Chanzo cha yote amesema awali alituma sana maombi ya kazi sehemu mbalimbali kwa muda mrefu lakini akaambulia patupu

Anasema baada ya kutafakari sana na kujitazama akagundua yeye ni wa thamani kubwa hivyo hawezi kulala njaa. Ndipo anasema akaanza kutupia picha za mitego mitandaoni ambapo anasema akaunti yake ikaanza kukua haraka huku wanaume nao wakianza kutupa kete zao kumtaka ndio ikawa hivyo na umaarufu ukamfuata.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad