Mtangazaji wa Michezo Geoffrey Lea Aikimbia Clouds FM Atimkia Alipokimbilia B Dozen

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Radio EFM Kupitia page yao wameandika haya hapa chini wakimaanisha wameshamchukua mtangazaji nguli wa michezo kutoka Clouds FM

#LeaYukoSawa : Bila shaka mko sawa kama Geoffrey Lea (@geoff_lea)
.
Lea yuko sawa sana kwa sababu ni kati ya Sports Personalities walioko vizuri kwenye kila mchezo. Anajua mpira wa miguu, wa kikapu, ngumi, tennis na mingine yote. Katika usawa huo, anastahili namba kwenye redio namba 1 kwenye michezo #Tanzania.
Mkuu wa Idara ya michezo hapa @efmtanzania na @tvetanzania, Kiungo mkongwe @maestro_ibrahim amemkabidhi jezi : #LeaYukoSawa #HuuMchezoHauhitajiHasira
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad