AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchekeshaji na muigizaji, Steve Nyerere ametangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo la Iringa Mjini kupitia CCM, ambalo kwa sasa lipo chini ya Mchungaji Peter Msigwa wa CHADEMA anayegombea Urais.
Steve ametoa kauli hiyo leo Juni 19, 2020, ambapo amsema yeye ndiye atakuwa mbunge mfupi na machachari kuliko wote huku akibainisha vitisho anavyo vipata.
“Mimi ndiyo Mbunge wa Iringa labda itokee niseme sitaki, nakwenda kurudisha jimbo letu, nawashukuru wanaonitukana na kunitishia kuniua maana wanazidi kunipa nguvu” amesema Steve Nyerere…Bofya hapa kutazama
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
umetisha mh mtarajiwa Steve Nyerere, Jimbo liko wazi.
ReplyDeletelinahitaji kijana mahiri na Mchapa kazi kama wewe.
Karibu sana, endelea Kijikoki KONKI ili utuondoshe Vibeko wote walio HAI na Sugu.
Karibu sana katika uwakilishi wa Wananchi Wazalendo.
Wanaojaribu kuficha kushinda na Kukimbilia Urahisi si Raisi hivyo
umetisha mh mtarajiwa Steve Nyerere, Jimbo liko wazi.
ReplyDeletelinahitaji kijana mahiri na Mchapa kazi kama wewe.
Karibu sana, endelea Kijikoki KONKI ili utuondoshe Vibeko wote walio HAI na Sugu.
Karibu sana katika uwakilishi wa Wananchi Wazalendo.
Wanaojaribu kuficha kushinda na Kukimbilia Urahisi si Raisi hivyo