Uwezi Amini Mtu Wangu..Ronaldo Anatengeneza Tsh. Bilioni 2 Kwa Kila Post ya Udhamini (Instagram)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Nyota wa klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo, ametakiwa kukodisha akaunti yake ya mtandao wa Instagram kwa dau nono kwa muda wa mwaka mmoja.

Shirika kubwa la uwekezaji la Marekani lilimpigia simu nyota huyo na kumuahidia kumlipa donge nono la Euro milioni 100 awakodishe kwa kipindi cha mwaka mmoja ukurasa wake binafsi wa mtandao wa Instagram.

Vyombo vya habari vya Marekani viliripoti kwamba Ronaldo aliwajibu kwamba atalifanyia tathmini pendekezo hilo.

Ronaldo ana wafuasi wapatao milioni 187 katika mtandao wa Instagram, aliingiza kiasi cha Paundi za Uingereza milioni 38.2 kutoka shirika hilo.

Cristiano Ronaldo ndiye nyota anayeingiza pesa nyingi kupitia akaunti yake ya Instagram, katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita katika post za Instagram 49 kwa wastani alilipwa kiasi cha Dola 975,000 kwa kila posti moja ambapo kwa mwaka mzima idadi inafikia Dola 47.8 Milioni (Takribani TShs Bilioni 109.8).

Toa maoni yako
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad