Zari Kwa Afungua Moyo kwa Diamond "Lockdown ikiisha Tiffah na Nillan wataenda Tanzania kwa Baba yao"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mjasiriamali na mzazi mwenza wa Diamond Platnumz , Zari the Boss lady amesema kwamba, hakuna shaka kuwa baada ya lockdown kuisha Nchini Afrika kusini , watoto wake ambao amezaa na Diamond Nillan na Tiffah watakuja Tanzania kuonana na baba yao , kwani Kama wazazi hawana Tofauti yoyote ile kwa hivi Sasa

Akizungumza kupitia Instagram Live, Zari amesema kuwa yeye na Diamond hawajarudiana kama watu wanavyodai, bali wameweka ukaribu ili kuwapa watoto wao malezi ya pamoja Kama wazazi

Zari amesema -"Sijarudiana na Diamond, yeye amejaliwa na mungu amemgusa, anafurahi sasa hivi amerejesha upendo kwa watoto wake.

Na Lockdown ikiisha watoto wake watakuja Tanzania kwasababu hakuna jambo lililo baya kati yetu"

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad