Aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni Afunguka Kuhusu Taarifa ya Kurudi CUF Baada ya Kushindwa Kura za Maoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mbunge wa Kinondoni aliyemaliza muda wake, Maulid Mtulia amesema kuwa yeye haoni sababu ya yeye kurudi chama cha CUF na kwamba ile picha iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ni ya siku nyingi.


Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na EATV&EA Radio Digital, na kusema kuwa picha inayosambaa mitandaoni ni ya mwaka 2015,  hata yule anayeonekana pembeni yake alishafariki siku nyingi.

"Kwanini sasa nirudi CUF, siyo kweli mimi nipo tu, ile picha ni ya mwaka 2015 yule aliyekuwa pembeni anaitwa Rashid amefariki mwaka juzi, alikuwa anakaa Mzimu" amesema Mtulia.

Hivi karibuni ilisambaa picha ya Mtulia ikionesha kwamba amerudi chama chake cha zamani cha CUF
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad