Baba Levo Awakataa Watoto Wake "Nina Watoto Wengi Mtaani ila Mama zao Walikuwa Hawajatulia Lazima DNA Kwanza"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii na aliyekuwa Diwani wa Mwanga Kaskazini Kigoma Ujiji, kupitia chama cha ACT Wazalendo Baba Levo, amesema ana watoto wengi hadi wengine amewakataa kwa sababu mama zao walikuwa hawajatulia pia ana mpango wa kwenda kuwapima DNA.

Akipiga stori na Big Chawa kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio, Baba Levo amesema yeye ni baba bora kwa watoto wake ila kwenye suala hilo anahitaji vipimo vya DNA ili kuthibitisha.

"Napenda sana watoto japokuwa nina watoto wengi, lakini wengine nimewaweka pembeni kwa sababu wakati natafuta hiyo mimba mama zao walikuwa hawajutulia, walikuwa wana rukaruka leo katembea na huyu kesho katembea na yule, halafu akipata mimba anakwambia ya kwako, kwahiyo mpaka nikawapime DNA nitawachukua na mchakato utaanza baada ya kumaliza kampeni".
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad