Bilionea Mpya Mjini Laizer Awatolea Nje Warembo Mastaa Waliojipendekeza Kwake Apite Nao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


HII inaitwa sitaki shobo! Bilionea mpya Bongo, Saniniu Laizer ambaye wiki iliyopita alitangazwa kuwa bilionea mpya wa madini nchini, amewakataa ‘live’ mastaa wa Kibongo wanaomtajataja mitandaoni.

“Unajua mimi siyo mtu wa mitandao kabisa kwa sababu huwa siangalii sana, lakini kingine watu ambao wanasema najuana nao, siyo kweli. Mimi ninawajua zaidi watu wa Mererani tu,” anasema Bilionea Laizer alipokuwa Akifanya Mahojiano na Ijumaa.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad