AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
HII inaitwa sitaki shobo! Bilionea mpya Bongo, Saniniu Laizer ambaye wiki iliyopita alitangazwa kuwa bilionea mpya wa madini nchini, amewakataa ‘live’ mastaa wa Kibongo wanaomtajataja mitandaoni.
“Unajua mimi siyo mtu wa mitandao kabisa kwa sababu huwa siangalii sana, lakini kingine watu ambao wanasema najuana nao, siyo kweli. Mimi ninawajua zaidi watu wa Mererani tu,” anasema Bilionea Laizer alipokuwa Akifanya Mahojiano na Ijumaa.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK