Baharia wa Kike Afunguka Wanavyokutana Navyo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Najua umeshasikia neno Baharia, na wengi wao wanaotumia huwa ni wanaume, sasa leo tunakukutanisha na baharia wa kike aitwaye Dilshard Multaza ambaye anatueleza kuhusianan na miasha ya ubaharia wa kike na changamoto anazokutana nazo.


Akizungumza kwenye kipindi cha Mama Mia ya East Africa Radio inayoruka kila siku za Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia 4:00 Asubuhi hadi 6:00 Mchana Baharia Dilshard Multaza amesema,

"Inaniuma sana kuona Baharia wa kike anasoma halafu hapati kitu, sisi ndiyo tunafanya uwezeshaji tunataka tutambulike na tupewe heshima yetu, kwa ujumla hali ya bahari ni ngumu sana kuna muda inachafuka ghafla,tunapata majanga mengi, tunakufa, meli kuondoka na mizigo, kupoteza abiria na tunashutumiwa kwamba ndiyo tuna sababisha matatizo kwa hiyo ikitokea hivyo unapoteza muelekeo"

Mengine zaidi aliyoyazungumza kuhusiana na maisha ya baharia wa kike, mikasa na wanavyokutana navyo, tazama kwenye video hapa chini
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad