AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MWANAMAMA mkali kwenye Tamthiliya za Kibongo, Yobnesh Yusuf ‘Batuli’ amefunguka kuwa, katika kipindi cha sasa, mambo ya maonesho yamepitwa na wakati kwani lazima kila mtu ajue kushughulika na vitu vya maana na vya kumjenga.
Batuli ameliambia Gazeti la IJUMAA WIKIENDA kuwa, nyakati zimebadilika na wakati wa sasa siyo wa kuoneshana mtu amenunua gari gani au amevaa nguo ya bei ghali kiasi gani, badala yake ni wakati wa kuangalia ni kitu gani cha kufanya kwa ajili ya maendeleo.
“Mara nyingi hata mimi nakuwa sionekani hovyohovyo kwa sababu huu siyo wakati wa maonesho. Sasa hivi ni kupiga kazi na kujua kipi ufanye ili ujiletee maendeleo binafsi na siyo kujionesha,” anasema Batuli.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK