AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hasna Mwilima amefanikiwa kuongoza katika kura za maoni katika Jimbo la Kigoma Kusini kupitia CCM kwa kupata kura 273 huku nafasi ya pili ikishikiliwa na Nashon Bidyanguze aliyepata kura 143.
Aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe David Kafulila amepata kura 64.
_________
Matokeo
1.Hasna Mwilima: 273
2.Nashon Bidyanguze: 143
3.January Kizito: 117
4.David Kafulila: 64
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK