Profesa Jumanne Maghembe Ashindwa Kura za Maoni CCM Jimbo la Mwanga....Mshindi Ni Anania Thadayo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Waziri wa zamani wa maliasili na utalii ambaye ni mbunge anayemaliza muda wake jimbo la Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro, Profesa Jumanne Maghembe ameshindwa katika kura za maoni za CCM kwa kupata kura 130 dhidi ya mshindi Anania Thadayo aliyepata kura 176
______
Matokeo:

1.Anania Tadayo  kura 176.
2.Jumanne Maghembe kura 130.
3.Shabib Mruma kura 56
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad