Dokii Aeleza Sakata la Harmonize Kumsaidia Mavoko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Baada ya maswali kuwa mengi kuhusiana na ukimya wa muda mrefu wa msanii Rich Mavoko, EATV & EA Radio Digital imepiga stori na Dada wa msanii huyo Dokii na amenyoosha maelezo kuhusu ukimya wa Mavoko na kusaidiwa na Harmonize.

Kuhusu ukimya wa msanii Rich Mavoko Dokii ameeleza kuwa "Hata kama haonekani wamuache atulie, kama kuna tatizo wao watamsaidia nini, waache wakisikia tatizo kuhusu Mavoko ndiyo waniulize ila kwa sasa kila kitu kipo sawa, waache wawe na shauku ya kumuona hadi pale atakapotoka kuna vitu vizuri vinakuja".

Aidha akizungumzia suala la Harmonize kutaka kumsaidia Rich Mavoko kupitia post aliyoweka katika mtandao wa Instagram siku kadhaa zilizopita, Dokii amesema "Ilikuwa ni jambo zuri kama limetoka moyoni mwake, ulikuwa ni ujumbe mzuri na niliufurahia kwa sababu anajua anachofanya, Harmonize hajafanya jambo baya".

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad