Idris Sultan: Mkapa ulisimamisha nguzo nzito zilizoanzishwa na TANU mpaka CCM kwa weledi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli ametangaza kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Tanzania Benjamin William Mkapa.

Baada ya taarifa hizo baadhi ya watu maarufu wamepost wakionyesha kusikitishwana msiba huo, mmoja wao ni Idris Sultan.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram amepost haya:-

A life well lived sir, inna lillahi wainna illaihi rajighun 🖤… Ulisimamisha nguzo nzito zilizoanzishwa na TANU mpaka CCM kwa weledi, mapenzi na busara kubwa kiasi cha kufanya kiti kizito chenye majukumu magumu sana kuonekana chepesi na kuwapa wengi moyo kukivaa. Haya maneno sisemi kwako bali kwa wasiojua nguvu uliyotuachia. Thank you sir “


 

 

 

OPEN IN BROWSER

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad