AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
.“Huyu ndiye mwanamke wa maisha yangu. Hilo litaendelea kuishi kwenye maisha yangu hadi mwisho wa uhai wangu. Ninampenda sana Wolper na nitaendelea kumpenda siku zote,” anasema Dallas ambaye baada ya uchumba wake na Wolper kuvunjika, alioa mwanamke mwingine na bado yupo naye.
Aliongeza kuwa, ikitokea akapata pesa tena kama kipindi kile, basi mtu ambaye atamuoa tena kwa harusi kubwa ni Wolper.
“Nakwambia mimi nikibahatika kupata pesa kama kipindi kile, kazi yangu itakuwa ni moja tu, kumuoa Wolper, sijaona mwanamke mwingine kwenye maisha yangu.” anasema Dallas huku akiinua mikono juu kumuomba Mungu amsikilize dua yake.
“Sina tatizo kabisa na Dallas na tunapendana mno, tunapiga stori na akiwa na kitu chochote lazima anakuja pale dukani kwangu (Sinza-Makaburini, Dar) tunaongea. Hata kanzu na kofia huwa ninamnunulia mimi, sisi siyo maadui, ni marafiki wakubwa sana,” Wolper ameiambia Globalpublishers
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK