Joseph Kusaga Aikana Wasafi Media "Sijaanzisha Wasafi Media" Ampa Pole Babu Tale

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkurugenzi wa CMG Joseph Kusaga amesema yeye siyo mmiliki wala mwanzilishi wa Wasafi media.

Amezungumza hayo leo akihojiwa na XXL. Kauli hiyo imekuja kutokana na pongezi ya Adam Mchomvu nanukuu

"Kwanza boss hongera kwa kuanzisha media nyingine ya Wasafi"

Joseph Kusaga " Wasafi media siyo mimi niliyeanzisha ni Diamond Platnumz na shareholders wengine, mimi nawashauri tu wakihitaji".

Swali lingine vipi haufikirii kuwa kiongozi wa kisiasa?

Joe "Mimi siyo mwanasiasa, you can't be master of everything..."

Pia amesema hajawahi kuwa na tatizo na Lady Jaydee ashauri nao XXL wasiwe na tatizo na wengine. Wakati akitoa ushauri huo ilisikika sauti ya Adam ikisema "it's order! It's order!".

Awataka vijana kuacha chuki atoa pole kwa Babu Tale.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad