Kanye West amejitoa kwenye mbio za kuwania Urais wa Marekani kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwezi Novemba mwaka huu.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mujibu wa vyombo mbali mbali, Kanye West ambaye alitangaza nia wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuchelewa kuandikisha jina lake kwenye makaratasi ya Kura katika majimbo (states) 6 ya uchaguzi nchini Marekani ikiwemo Florida na South Carolina, hivyo kukata tamaa kutokana na uzito wa zoezi kwa sababu tarehe ya mwisho ni leo Julai 15.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad