AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa vyombo mbali mbali, Kanye West ambaye alitangaza nia wiki mbili zilizopita, ameripotiwa kuchelewa kuandikisha jina lake kwenye makaratasi ya Kura katika majimbo (states) 6 ya uchaguzi nchini Marekani ikiwemo Florida na South Carolina, hivyo kukata tamaa kutokana na uzito wa zoezi kwa sababu tarehe ya mwisho ni leo Julai 15.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK