AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewataka wana CCM wote wanaoenda kugombea katika nafasi mbalimbali wakawe wavumilivu na wasije wakasababisha kuvunja umoja wao, hasa katika kipindi hiki cha kampeni kwani watapoteza mwelekeo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.
Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Juni 30, 2020, Jijini Dodoma wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi, mara baada ya kurejesha fomu yake ya kuwania nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu ujao, na kutolea mfano wa namna ambavyo watia nia wa Urais Zanzibar, walivvyojitokeza kwa wingi na kupelekea kuanza kutoleana maneno.
"
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK