Kocha wa Yanga amtimua Bernard Morrison kambini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kocha Mkuu wa Yanga SC Luc Eymael ameeleza masikitiko yake na kuamua kumuondoa kambini mchezaji Bernard Morrison aliyemleta Yanga January 2020 wakati anajiunga nao, Morrison kaondolewa kwa vitendo vya utovu wa nidhamu.

“Nidhamu aliyoionesha kambini asubuhi hii (jana) nimeamua kumuondoa kambini sababu ya tabia yake sitaki kuzungumzia sana bahati mbaya sijui kapatwa na nini, toka nimerudi (likizo ya Corona) sijui kijana wangu (Morrison) niliyemleta hapa kapatwa na nini”

“Nimeongea nae sana muda wote sijui hata kimemtokea nini hapa kama nilivyosema niliamua asubuhi hii (jana) kumuondoa kambini na club itatoa taarifa rasmi kuhusiana na hili”
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad