AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameitisha kikao cha dharura kufuatia mtu mmoja aliyeshukiwa kuwa na virusi vya COVID-18 kuingia nchini humo kinyume cha sheria.
Kulingana na vyombo vya habari vya serikali mtu huyo aliingia nchini humo akitokea Korea Kusini na iwapo itathibitishwa kitakuwa ni kisa cha kwanza kutangazwa na serikali ya Korea Kaskazini ambayo imedhibiti maradhi hayo na taifa hilo hadi sasa halikuwa na maambukizi yoyote.
Kulingana na shirika la habari la serikali, KNCA Kim ameitisha kikao hicho cha dharura pamoja na kutangaza kuzuwia watu kubakia majumbani mwao katika mji wa mpakani wa Kaesong. KNCA limearifu kwamba mtu huyo amefanyiwa vipimo kadhaa vilivyotoa majibu yenye utata na hivyo kuwekwa karantini katika mji huo kama hatua ya awali. Hata hivyo haikuwa wazi iwapo alichukuliwa vipimo vya COVID-19.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK