AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtoto huyo akiwa mbele ya police na waandishi alisema baba'ke huyo wa kambo alianza kumuingiza kidole sehemu zake wakati akiwa na miaka 4, amesema alimueleza mama yake mzazi lakini mama yake aliishia kumpiga kuashiria kumtaka anyamaze ikielezwa mwanamke huyo alikuwa akiilinda ndoa yake isije kuvunjika licha ya mume kumfanyia ukatili mtoto. Mtoto amesema tangu mama'ke alipompiga hakumueleza tena kila alipofanyishwa ngono na baba'ke wa kambo.
Hata hivyo, wakati mtoto akiendelea kuharibiwa, majirani wamegundua na baada ya kumchunguza mtoto wakatoa taarifa police kumnusuru mtoto huyo. Jamaa anasubiri kuchukuliwa hatua za kisheria
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK