Mama Nandy "Sipendi Nandy Aingie Kwenye Ndoa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MAMA mzazi wa msanii wa Bongo Fleva, Fausta Mfinanga, maarufu kama Nandy, ameweka bayana juu ya maamuzi ya mwanaye kufunga ndoa na msanii mwenzake, Bill Nas, ambaye ni mpenzi wake wa muda mrefu sasa.

Akizungumza na Global TV wakati wa uzinduzi wa Nandy Bridal, mama Nandy amesema; “Siwezi kusema tumemkubali Bill Nas au tumemkataa, Nandy ni mtu mzima anachokifanya anakijua, kwa hiyo hatuwezi kumchagulia aolewe na nani, ni uhuru wake kuchagua.

“Lakini kwa sasa nisingependelea aingie kwenye mambo ya ndoa kwa sababu ana malengo yake, ana vitu vyake anavyotaka kuvifanya ili afikie mafanikio yake, kwa hiyo mimi naona angefanya kwanza kazi yake, haya mengine yatakuja,” amesema Mama Nandy.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad